Friday, June 25, 2010

Wateja wa Tigo wapewe taarifa hii kutoka Tigo kuhusu swala la usajili

kuhusu usajili wa namba za tigo

Friday, June 25, 2010

Hi all

Wateja wa Tigo wapewe taarifa hii kutoka Tigo kuhusu swala la usajili kwamba

Ikiwa hawajasajili hadi leo waende wakasajili kwenye vituo vya karibu mapema iwezekanavyo kwa kuwa siku zimekwisha

Ikiwa watapata mesaji hii hapo chini pia wanatakiwa wafuate maelekezo yaliyopo kwenye meseji hiyo ili namba zao zisije zikasimamishwa kwa madai ya kwamba hazijasajiliwa.

Meseji hii inatumwa kwa wale wateja ambao hadi sasa namba zao hazijaingia katika orodha ya waliosajili namba zao hadi leo.

Ndugu mteja wa Tigo bado hujasajili namba hii, tafadhali jisajili leo. Kama ulijisajili zamani tuma neno JINA kisha jina lako kamili na namba ya fomu kwenda 106

Tigo tunawashukuru sana watanzania kwa ushirikiano wao mkubwa katika zoezi hili la kusajili namba zao za simu

Asanteni sana

Meneja uhusiano wa Tigo

Jackson Mmbando

No comments:

Post a Comment