Saturday, June 26, 2010

Pinda Akutana na Jumuiya ya Wanafunzi wa vyuo Vikuu vya Dodoma




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma baada ya kufungua kongamano la siku tatula Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Dodoma kwenye ukumbi wa African Dream Mjini Dodoma jana. (Picha na Ofisi ya Wazir Mkuu)

No comments:

Post a Comment