Wednesday, June 2, 2010

Kikao cha Kamati ya Muungano Zanzibar Leo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk Ali Mohamed Shein katikati, Waziri Mkuu mheshimiwa Mizengo Pinda kulia na Waziri kiongozi wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Shamsi Vuai Nahodha kushoto, wakipitia ajenda mbalimbali kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati ya pamoja kinachojadili mambo mbaliom,bali ya kero za Muungano, kilichofanyika leo kwenye ukumbni wa Salama Hall ukumbi wa Bwawani mjini Zanzibar.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein kulia na Waziri Mkuu wa Mheshimiwa Mizengo Pinda kulia, wakizungumza jambo katika kikao cha Kamati ya pamoja kinachojadili mambo mbalimbali ya kero za Muungano, kilichofanyika leo kwenye ukumbi wa Salama Hall Hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment