Monday, May 24, 2010

Ziara ya Rais Karume nchini China


Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akiwa na mazungmzo na Naibu Meya wa jiji la Shangai China, Tang Deng Jie jana



Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Naibu Meya wa Mjini Shangai China Tang Deng Jie,akiwa Ziarani Nchini China,(katikati) Ni Mke wa Rais Mama Shadya Karume.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume akisalimiana na Balozi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Watu wa China Zhang Hong Xi, katika Uwanja wa Ndege Shanghai, katika ziara yake ya kiserikali , amefuatana na Mkewe Mama Shadya Karume,pamoja na Maofisa wengine wa Serikali,katika mapokezi hayo alikuwepo. Balozi wa Tanzania nchini China Mhe. Ramadhan Mapuri.
Picha na Abadalah Haji China.


Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,na Mkewe Mama Shadya Karume wakiangalia maonesho katika moja ya mabada ya monesho ya Expo 2010,Mjini Shangai akiwa ziarani Nchini humo.

No comments:

Post a Comment