Monday, May 17, 2010

NI MIMI NA SPIKA MH.SAMWEL SITTA DIAMOND JUBLEE


Nakumbuka ilikuwa tarehe 25 Desemba mwaka jana ndani ya ukumbi wa Diamond Jublee ambapo kampuni yangu Msama Promotion iliandaa tamasha kubwa la nyimbo za injili .Mh Spika Samwel Sitta ndiye alikuwa mgeni rasmi na shughuli ilifanyika vema mno.

No comments:

Post a Comment