Wednesday, May 26, 2010

Matukio ya Rais Karume Ziarani China

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,na Mkewe Mama Shadya Karume,wakipata maelezo walipotembelea Bustai ya Mji Mkongwe wa Shanghai,China YU Garden.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,apata maelezo kutoka afisa wa kampuni ya Huawei,kuhusu utendaji kazi wa kampuni hiyo alipotembela akiwa na ujumbe wake nchini China.

No comments:

Post a Comment