Monday, May 24, 2010

May 24, 2010 MCHUMI WA ADB ATOA TAARIFA YA MWELEKEO WA UCHUMI AFRIKA



Mchumi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Mthuli Ncube (katikati)akitoa ufafunuzi kwa waandishi wa habari leo mjini Abidjan juu ya taarifa inaoonyesha mwelekeo wa uchumi barani Afrika. wengine ni Mtafiti na Mchumi wa ADB Peter Walkenhorst ( kushoto) na Mtaalam Msimamizi(lead Expert) wa ADB Nagatte Wade(kulia)
(Picha Ingiahedi mduma Wizara ya Fedha na UchumiTanzania)

Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa 45 wa ADB wakimsikiliza jana mjini Abidjan kwa makini Mchumi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(ADB) Mthuli Ncube ( haypo pichani) wakati akizindua taarifa inaoonyesha mwelekeo wa uchumi barani Afrika.


No comments:

Post a Comment