Monday, May 17, 2010

NI ROSE MHANDO HUYU JUKWAANI TAMASHA LA HALELUYA








Rose Mhando hapa alikuwa anaimba kwa hisia na unaweza kuona jinsi nyimbo za kiroho zinavyo muweka kwenye hali ya namna hii .
Ukumbi ni Diamond na ilikuwa Tamasha la Haleluya ambapo yeye ni mmojawapo wa wasanii walibahatika kuimba na nyimbo kuvuta hisia za watazamaji , ni muimba mzoefu na aliyepita kwenye changamoto nyingi kufika hapa alipo.

No comments:

Post a Comment