Saturday, May 22, 2010

OBAMA KUTUA BONGO KESHO NA KUPIGASHOO MSASANI CLUB


Presidaa wa Vijana masauti Christian Bella anategemewa kutua Nchini Jumapili ya Kesho kwa ndege ya shirika la Ndege la kenya.

Katika msafara huo Bella ataambatana na wacheza show wanne wapya wa Akudo impact na moja kwa moja wataelekea katika ukumbi wa Msasani Beach Club kawe kuungana na wanamuziki wengine wa Akudo ili kuendeleza burudani katika bonanza lao la kimataifa

akizungumzia hilo kwa njia ya Simu bella amesema wacheza show hao walikuwa kambini takribani kwa wiki tatu na sasa wanazijua stail zote za Akudo na kesho nitawatambulisha kwenye bonanza letu na watacheza stail zote za vijana wa Masauti , pia nime wamiss wapenzi wangu hivyo wategemee makubwa kutoka kwangu siku ya kesho.

No comments:

Post a Comment