Monday, September 27, 2010

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO MAREKANI


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kisalimiana na Sister Davita Lumanzi wa Shirika la Wafrancisco wakati alipozungumza na watanzania waishio Marekani kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania, kwenye Umoja wa Maifa New York ,Septemba 26,2010. Sister Davita Msomi wa fani ya Utawala katika Hospitali na anafanya kazi nchini Marekani.(Picha na Ofisi ya Wziri MKuu)
.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na baadhi ya watanzania waishio Marekani kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, New York, Septemba 26, 2010
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tuni Pinda akisalimiana na Meja Ibuge wakati Waziri Mkuu Mizengo Pinda alipokutana na watanzania Waishio Marekani kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, New York Septemba 26, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mzee, Omar Juma Mwilima katika Mkutano wake na Watanzania waishio Marekani kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania kwenye Umoja wa Matifa, New York, Septemba 26, 2010. Mzee Mwilima wa Mbezi, Dar es salaam,yuko Malekani kwa mwaliko wa wanae wanoishi huko. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment