Thursday, September 9, 2010

UCHAGUZI EXPRESS LEO SAA 3 USIKU



Leo Kwenye "UCHAGUZI EXPRESS"
  • Wakati tukiwa tunaelekea kwenye uchaguzi, kutana na wagombea urais wetu. Na je, wananini cha kusema?
  • Na mijadala inaendelea, timu ya Tanganyika ikiwa inaongozwa na Karola Kinasha wakati timu ya Victoria ikiwa inaongozwa na Stara Thomas. Mjadala unahusu Demokrasia na haki za binadamu
  • Kuyaona hayo na mengine mengi usikose kuangalia 'UCHAGUZI EXPRESS' leo saa 3 usiku.

No comments:

Post a Comment