Friday, September 10, 2010

ALBAMU YA FARAJA NTOBA IPO MADUKANI




Albamu mpya ya muimbaji kutoka kongo anajulikana kwa jina la Faraja Ntaboba, imetoka katika mafumo wa Video na Audio inakwenda kwajina la Mke wa Pili, imetengenezwa na kusambazwa na Msama Promotions. kwa manunuzi ya jumla na rejareja wasiliana na Msama Promotions kwa namba ya simu 0713 616266 begin_of_the_skype_highlighting 0713 616266 end_of_the_skype_highlighting au fika duka la Msama Promotions lililopo mtaa wa mkwepu karibu na roundabout ya Azam- Posta mpya jijini Dar.

No comments:

Post a Comment