Friday, September 10, 2010

RAIS KARUME ALIHUTUBIA BARAZA LA IDD EL FITRI


Rais wa Baraza na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaji DK Amani Abeid Karume,akibadilishana mawazo na makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Pia Mgombea Urais wa Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad,(kulia) mara baada ya kulihutubia Baraza la Idd el Fitri katika viwanja vya jumba la Wananchi Forodhani leo.
Picha na Ramadhan Othman,Ikulu Zanzibar.

No comments:

Post a Comment