Thursday, September 23, 2010

MH. MIZENGO PINDA AKUTANA NA RAIS WA LIBERIA NA WAZIRI MKUU WA DENMARK


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha kujadili maendeleo ya Millenia alichokiandaa kwa pamoja na Waziri Mkuu wa Denmark, L. Lokke Rasmussen (katikati) na Rais wa Liberia, E. Johnson Sirleaf (kushoto) jijini New York , Septemba 22, 2010.(Picha na Ofisi y a Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika kikao cha kujadili maendeleo ya Millenia alichokiandaa kwa pamoja na Waziri Mkuu wa Denmark, L. Lokke Rasmussen (kulia ) na Rais wa Liberia, E. Johnson Sirleaf aliyekaa katikatijijini New York , Septemba 22, 2010.(Picha na Ofisi y a Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais wa Liberia, E. Johnson Sirleaf wakifuatilia mkutano wa kujadili maendeleo ya millennia waliouandaa wakishirikiana na Waziri Mkuu wa Denmark L. Lokke Rasmussen jijini New York, Septemba 22, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Rais wa Liberia, E. Johnson Sirleaf (katikati) wakizungumza na Waziri Mkuu wa Denmark, L. Lokke Rasmusen baada y kikao walichokiandaa cha kujadili maendeleo ya Millenia kilichofanyika jijini New York Septemba 22, 2010. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment