Saturday, September 4, 2010

Jakaya Kikwete Ngerengere leo


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ngerengere, mkoani Morogoro wakimsalimia kwa bashasha mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Jakaya Mrisho Kikwete muda mfupi kabla ya mgombea huyo kuwahutubia katika mkutano wa hadhara wa kampeni leo asubuhi(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment