Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akiwa na mazungmzo na Naibu Meya wa jiji la Shangai China, Tang Deng Jie jana
Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,akisalimiana na Naibu Meya wa Mjini Shangai China Tang Deng Jie,akiwa Ziarani Nchini China,(katikati) Ni Mke wa Rais Mama Shadya Karume.
Picha na Abadalah Haji China.
Rais wa Zanzi bar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume,na Mkewe Mama Shadya Karume wakiangalia maonesho katika moja ya mabada ya monesho ya Expo 2010,Mjini Shangai akiwa ziarani Nchini humo.
No comments:
Post a Comment