Wapiga picha kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakichukua picha za matukio kwenye tamasha la nyimbo za injili ambalo lilifanyika Desemba 25 mwaka jana ndani ya ukumbi wa Diamond Jublee . Tamasha hilo la aina yake liliandaliwa na kampuni ya Msama Promotions ya jijini Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment