Monday, December 13, 2010

Mabalozi wa Sweden na Norway wawasilisha hati za utambulisho kwa Rais Kikwete


Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Sweden na Norway katika hafla fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam.Waliowasilisha hati zao ni Balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden na Balozi Bi.Ingunn Klepsvik wa Norway.Pichani Balozi Ingunn Klepsvik wa Norway akiwasilisha hati zake za utambulisho kwa Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete.
Picha na Freddy Maro - Ikulu

No comments:

Post a Comment