Saturday, December 11, 2010

KITABU CHA JK CHAZINDULIWA





Baadhi ya wanafamilia ya Mheshimiwa Rais Kikwete wakiperuzi kurasa za kitabu cha Wasifu wa JK kilichozinduliwa leo Ikulu Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Bwana Beno Malisa akizungumza na Miraji Kikwete kwenye uzinduzi wa Kitabu Cha Wasifu wa JK Ikulu jijini Dar es salaam.
Nakala ya kiingereza ya Kitabu cha Wasifu wa JK kama kinavyoonekana. Picha ya chini ni Profesa Nyang'oro akitia saini nakala za kitabu hicho zilizogaiwa bure kwa wageni wote waalikwa waliofika kwenye hafla hiyo. Vitabu hivyo vitaanza kuuzwa kwenye duka la vitabu la Chuo Kikuu Cha Dar es salaam kuanzia kesho tarehe 10-12-2010 kwa gharama ya shillingi 25,000/=

No comments:

Post a Comment