Sunday, December 12, 2010

GAZETI LADIRA LIPO MTAANI LEO HII. PATA NAKALA YAKO MAPEMA.


Kama kawaida gazeti lako la kila wiki linalotolewa na DIRA MEDIA GROUP leo lipo mtaani kwa tsh. 400/- pata nakala yako upate kujua kinachoendelea ndani ya nchi yako na hata nje ya nchi kupitia waandishi waliobobea katika kuandika habari za kiuchunguzi na zenye uhakika. ndani ya gazeti la DIRA utapata habari za kisiasa, kiuchumi, kijamii, michezo na burudani.

No comments:

Post a Comment