Sunday, February 6, 2011

GAZETI LA DIRA LIPO MTAANI LEO KAMA KAWAIDA YAKE

Leo kama kawaida ya gazeti hili kutoa habari zilizofanyiwa uchunguzi wa kina na waandishi waliobobea katika habari za kiuchunguzi limtoka na jinsi mmiliki wa dowans alivyojipanga kuliteka bunge! unajua mmiliki huyo ni nani?, ana mipango gani? na ataliteka vipi? ....Usikose nakala yako ya DIRA YA MTANZANIAb kwa Tsh. 500/= tu

No comments:

Post a Comment