Monday, November 8, 2010

GAZETI LA DIRA YA MTANZANIA LEO JUMATATU



Gazeti lako mahiri la uchambuzi wa mambo ya siasa,michezo burudani na mengineyo linalochapishwa na Kampuni ya Msama Promotions,kesho liko mtaani kwa mara nyingine tena,kama ada yake huku likiwa limesheheni habari kibao za kijamii,siasa, uchumi na michezo . Jumatatu wiki hii linaingia mitaa kwa shilingi 400/= kwa kila kopi.

1 comment: